2280; Kila kitu kinaanza na mteja…

By | March 29, 2021
2280; Kila kitu kinaanza na mteja… Watu huwa wanahangaika na mambo mengi kwenye biashara zao, ambayo hata siyo muhimu. Yale ya muhimu kabisa na yanayoiwezesha biashara kupiga hatua huwa hayapewi uzito mkubwa. Watu huhangaika na wazo, jina, mtaji, eneo na mengine, lakini mteja hawampi kipaumbele kikubwa. Watu huhangaika na mbinu

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz