#TAFAKARI YA LEO; KAZI…

By | March 29, 2021
Kama kuna rafiki mmoja unayemhitaji sana kwenye maisha yako basi ni kazi. Kazi haijawahi kumtupa yeyote anayeipenda na kuiheshimu. Kazi imekuwa inalipa sawasawa na mtu anavyoweka juhudi. Chochote unachotaka kwenye maisha yako, utakipata kupitia kuweka kazi kwa juhudi kubwa. Kuanzia fedha, mafanikio, heshima, afya na hata mahusiano bora. Kila chenye

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: #TAFAKARI YA LEO

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz