#TAFAKARI YA LEO; HUDUMA…

By | March 31, 2021
Chochote tunachotaka kwenye maisha yetu, ni wengine wanacho. Hivyo ni wajibu wetu kuhakikisha tubaweza kuwashawishi wengine kutupa tunachotaka. Na njia ya uhakika ya kufanya hivyo ni kutoa huduma kwa wengine. Chochote unachofanya, hakikisha kina manufaa kwa wengine, kinaongeza thamani kubwa kwao na kuyafanya maisha yao kuwa bora. Hakikisha unayagusa maisha

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: #TAFAKARI YA LEO

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz