#TAFAKARI YA LEO; UTAWARIDHISHA WANGAPI?

By | April 3, 2021
Sisi binadamu kama viumbe wa kijamii, tumejengewa mazoea ya kutaka kuwaridhisha wengine ili watukubali. Hili lilikuwa muhimu kipindi cha kale ambapo watu walikuwa kwenye makundi madogo na hali ilikuwa hatari. Lakini sasa mambo yamenadilika, hatupo tena kwenye makundi madogo na hatari siyo kubwa. Hivyo unapokazana kuwaridhisha wengine, haina msaada wowote

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: #TAFAKARI YA LEO

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz