2289; Ulichozaliwa nacho, hupaswi kukiomba…

By | April 7, 2021
2289; Ulichozaliwa nacho, hupaswi kukiomba… Jamii huwa haipendi uwe huru kuwa vile unavyotaka. Na ili kukunyima uhuru wako, inahakikisha inakujengea aina fulani ya utegemezi ambapo utajiona bila jamii hiyo maisha yako hayawezi kwenda. Ukianza na uhuru wenyewe, ulizaliwa ukiwa huru kabisa, lakini mamlaka mbalimbali zinajihamishia uhuru huo na kukufanya uzione

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz