#TAFAKARI YA LEO; USIDHARAU HATUA NDOGO NDOGO…

By | April 14, 2021
Hakuna kitu unachofanya kisiache madhara kwenye maisha yako. Kila hatua unayochukua, hata kama ni ndogo kiasi gani, inaacha alama kwenye maisha yako na unavyorudia kufanya inajenga au kubomoa tabia fulani ndani yako. Pia kile unachofanya, kinageuka kuwa mazoea na baadaye unajikuta unafanya bila hata ya kufikiri. Kuwa makini sana na

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: #TAFAKARI YA LEO

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz