2302; Jumbe Zinazokinzana…

By | April 20, 2021
2302; Jumbe Zinazokinzana… Katika kujifunza na kupata ushauri mbalimbali, unakutana na jumbe za aina nyingi. Kuna baadhi ya jumbe zitakuwa zinakinzana. Mmoja anakuambia kifanya kitu A ni sahihi, mwingine anakuambia kitu A siyo sahihi. Je katika hali kama hiyo unapaswa kuchukua hatua gani? Hapo wengi hukwama, kwa sababu hung’ang’ania jumbe

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz