#TAFAKARI YA LEO; USIJIDANGANYE MWENYEWE…

By | April 22, 2021
Ni rahisi kuwadanganya wengine kwa sababu hawajui kilicho ndani yako. Lakini unapoanza kuwadanganya wengine, inakuwa rahisi kujidanganya wewe mwenyewe pia. Unaweza kuwa na sababu nzuri ya kuwapa wengine ili wasikusumbue, lakini kamwe usije ukaisaha sababu ya kweli ya wewe kufanya unachofanya. Maana ukishaanza kujidanganya mwenyewe, unakuwa kwenye njia mbaya. Ukurasa

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: #TAFAKARI YA LEO

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz