#TAFAKARI YA LEO; HEKIMA NA UPUMBAVU….

By | May 11, 2021
Hekima na upumbavu ni vile vile tangu enzi na enzi, hakuna kipya kwenye hayo. Mabadiliko yapo kwa namna vinatumika kwenye enzi husika. Wenye hekima wamekuwa wanafanya mambo yale yale huku wapumbavu pia wakifanya yale yale. Huna haja ya kuja na hekima au upumbavu mpya, angalia tu namna wengine wamekuwa wanaishi

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: #TAFAKARI YA LEO

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz