#TAFAKARI YA LEO; KUWA WEWE…

By | May 19, 2021
Huwezi kupata mafanikio makubwa kwa kuyaiga maisha ya wengine. Hata kama watu hao wamefanya vitu fulani au kuishi kwa namna fulani wakafanikiwa, haimaanishi na wewe utafanikiwa kwa kuiga jinsi walivyofanya. Badala yake unapaswa kujifunza kutoka kwao, kisha kuishi uhalisia wako ili uweze kufanikiwa sana. Kwa kuishi uhalisia wako, hakuna anayeweza

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: #TAFAKARI YA LEO

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz