2335; Shamba lisilolimwa…

By | May 23, 2021
2335; Shamba lisilolimwa… Shamba lenye rutuba nzuri lakini halijalimwa, huwa halipotezi rutuba yake. Bali rutuba hubaki pale ikiwa imelala. Shamba hilo litaota magugu lakini nayo hayawezi kumaliza rutuba kubwa ya shamba. Siku akitokea mtu na kuona fursa nzuri iliyo kwenye shamba hilo na kuanza kulilima, ananufaika sana. Hivyo pia ndivyo

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz