Mawazo 10 Ya Kuingiza Fedha Kama Mwalimu.

By | May 26, 2021
Mawazo 10 Ya Kuingiza Fedha Kama Mwalimu. Kupitia taaluma ya ualimu, kuna njia nyingi za kuingiza kipato. Hapa ni njia kumi ambazo mtu anaweza kutumia kuingiza kipato kwa taaluma hiyo. Kuajiriwa kama mwalimu. Kufundisha wanafunzi masomo ya ziada (tuition). Kujiajiri kama mwalimu kwa kufungua shule au chuo chako. Kuandika kitabu

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: MAWAZO 10

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz