MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.
2349; Nini Unajaribu Kuficha…
2349; Nini Unajaribu Kuficha… Huwa ipo kauli kwamba ukimuona mtu anajisifia sana kwa kitu fulani, jua hicho kitu hana au anatumia sifa hizo kuficha kitu kingine ambacho hataki kionekane. Mfano mtu anayesema mimi siyo muoga hata kidogo, huwa ndiye muoga zaidi. Anatumia kauli hiyo kuficha uoga wake. Hivyo pia ndivyo