#TAFAKARI YA LEO; UNAYEPASWA KUMHOFIA ZAIDI…

By | June 7, 2021
Siyo yule anayeongea sana, bali yule anayekaa kimya. Anayeongea sana anaweka kila kitu wazi kuhusu yeye, hivyo unaweza kujua mipango yake na kujiandaa mapema. Anayekaa kimya hujui anapanga nini na huwezi kujiandaa kwa ajili yake. Hivyo hofia zaidi wale wanaokaa kimya kuliko wanaoongea sana. Lakini pia wapo wanaoongea sana kama

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: #TAFAKARI YA LEO

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz