Mawazo 10 ya kuingiza kipato kupitia ukalimani wa

By | June 8, 2021
Mawazo 10 ya kuingiza kipato kupitia ukalimani wa lugha. Kadiri dunia inavyoungana na kushirikiana, watu wanahitaji kushirikiana kwenye shughuli mbalimbali. Lakini lugha huwa ni kikwazo katika ushirikiano huo. Hapo inajitokeza fursa ya ukalimani, ambapo mtu anayezielewa vizuri lugha mbili, anaweza kusaidia kwenye mawasiliano. Hapa ni njia kumi za kuingiza kipato

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: MAWAZO 10

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz