Mawazo 10 ya kuingiza fedha kupitia biashara ya

By | June 13, 2021
Mawazo 10 ya kuingiza fedha kupitia biashara ya mbao. Samani mbalimbali zinatengenezwa kwa kutumia mbao. Hilo linafanya uhitaji wa mbao kuwa mkubwa na kutoa fursa ya kibiashara kwa wale wanaoweza kushughulika na upatikanaji wa mbao. Hapa ni mawazo 10 ya kuingiza kipato kupitia biashara ya mbao. Kununua na kuuza mbao

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: MAWAZO 10

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz