#TAFAKARI YA LEO; UKIINGIZA UCHAFU UTATOA UCHAFU…

By | June 13, 2021
Akili yako ni kompyuta yenye uwezo wa hali ya juu mno. Huwa inachakata chochote kinachoingia na kuzalisha matokeo. Kama uchafu unaingia kwenye akili, akili inauchakata na kutoa uchafu zaidi. Vile ulivyo sasa kwenye maisha yako ni matokeo ya kile ulichoruhusu kiingie kwenye akili yako. Kama unataka kuyabadili maisha yako, anza

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: #TAFAKARI YA LEO

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz