#TAFAKARI YA LEO; UNAVYOWEZA KUACHA ALAMA HAPA DUNIANI.

By | June 22, 2021
Huhitaji kufanya ugunduzi mkubwa au mapinduzi fulani ndiyo uache alama hapa duniani. Ipo njia rahisi ambayo kila mmoja wetu anaweza kuitumia na akaacha alama kubwa. Njia hiyo ni kujifunza kwa kupata maarifa sahihi, kuyatumia maarifa hayo ili kuyafanya maisha yako kuwa bora kisha kuwafundisha wengine kile unachojia na uzoefu uliopata.

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: #TAFAKARI YA LEO

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz