2374; Mrejesho Ni Zawadi…

By | July 1, 2021
2374; Mrejesho Ni Zawadi… Huwa kuna kauli kwamba zawadi ni zawadi, hakuna ndogo wala kubwa. Ukipewa zawadi unapaswa kushukuru. Moja ya zawadi ambayo mtu yeyote anaweza kukupa ni mrejesho kwenye kile unachofanya. Unapompata mtu anayeelewa kile unachofanya, na akawa tayari kukupa mrejesho kwenye kile unachofanya, hiyo ni zawadi ya kipekee.

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz