#TAFAKARI YA LEO; HITAJI KUU LA MAFANIKIO…

By | July 16, 2021
Unapojifunza kwa wengine waliofanikiwa, haimaanishi uwe kama wao ili ufanikiwe. Njia ya uhakika ya kutokufanikiwa ni kujaribu kuwa kama wengine. Hitaji kuu la mafanikio ni wewe kuwa wewe, kujitambua, kujikubali, kujichagua na kujiamini. Hakuna anayeweza kukushinda wewe kuwa wewe na hapo ndipo ilipo nguvu kubwa kwako ya ushindani na kufika

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: #TAFAKARI YA LEO

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz