Mawazo 10 ya kuingiza fedha unapokuwa chini

By | July 23, 2021
Mawazo 10 ya kuingiza fedha unapokuwa chini kabisa. Kuna wakati mtu unakuwa unapitia magumu sana kwenye maisha na kuona kama kila kitu hakiwezekani. Unaweza kukata tamaa na kuona huna cha kufanya. Lakini usiruhusu hilo, yapo mengi ya kufanya. Na kuna njia mbalimbali za kuingiza fedha pale unapokuwa chini kabisa. Fanya

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: MAWAZO 10

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz