2397; Mambo ya kuzingatia unapokuwa juu…

By | July 24, 2021
2397; Mambo ya kuzingatia unapokuwa juu… Kila mtu anapenda kwenda juu, kufika kwenye kilele cha juu kabisa cha mafanikio. Lakini wengi huangalia upande mmoja tu wa kuwa juu, upande wa mazuri. Kuwa juu kuna upande wa mabaya yake, ambao unaambatana na changamoto mbalimbali. Ipo kauli inayosema kadiri unavyokwenda juu, ndivyo

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz