Mawazo 10 ya kuingiza fedha kwa kipaji.

By | July 29, 2021
Mawazo 10 ya kuingiza fedha kwa kipaji. Kipaji ni kile kitu ambacho kwako ni kama mchezo, lakini kwa wengine ni kazi ngumu. Wewe unafanya bila kuchoka, wakati wengine wanachoka kabla hata hawajaanza kufanya. Hakuna asiye na kipaji, ila kuna wengi wasiojua vipaji vyao. Pambana ujue kipaji chako na kisha kitumie

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: MAWAZO 10

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz