#TAFAKARI YA LEO; MTU PEKEE UNAYEWEZA KUMRIDHISHA…

By | July 30, 2021
Kuna mtu mmoja tu unayeweza kumridhisha na kumfurahisha kwenye maisha yako. Mtu huyo ni wewe mwenyewe. Utajiridhisha kwa kuishi maisha ya kweli kwako na siyo kuishi maisha ya maigizo ili kuwaridhisha wengine. Haijalishi unafanya nini, wapo watu watakaokuona wewe ni takataka na hufai kabisa. Siyo kwa sababu yako, bali kwa

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: #TAFAKARI YA LEO

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz