2454; Ukitaka sana kitu, unakifukuza.

By | September 19, 2021
2454; Ukitaka sana kitu, unakifukuza. Pale unapokuwa unakitaka sana kitu na kutaka kukipata kwa wakati unaotaka wewe mwenyewe, huwa inakuwa vigumu zaidi kukipata. Utakazana na kulazimisha sana ukipate, utatumia kila aina ya njia. Lakini kadiri unavyohangaika ili kukipata, ndivyo kinakwenda mbali na wewe. Cha kushangaza sasa, pale unapokuwa hakitaki sana

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz