2463; Kwenye muda huo huo.

By | September 28, 2021
2463; Kwenye muda huo huo. Watu wamekuwa wanalalamika hawana muda wa kufanya yale wanayopaswa kufanya ili wafanikiwe. Lakini katika muda huo huo, kuna wengi wanaofanya makubwa na kufanikiwa sana. Nimekuwa najiuliza mara nyingi, nini kinapelekea hili? Inakuwaje kwenye muda huo huo wengine wanafanikiwa na wengine wanashindwa? Nilielewa hilo kwa kina

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz