2524; Pesa ziko wapi?

By | November 28, 2021
2524; Pesa ziko wapi? Wahenga walisema, mali bila daftari, hutumika bila habari. Kama hutunzi vizuri kumbukumbu zako za kila senti inayoingia na kutoka, hutajua pesa zako zinapotelea wapi. Utaona tu umeshika pesa nyingi, lakini hujui zimeenda wapi. Na hapo ndipo wengi huamini kuna chuma ulete, hali ya ushirikina ambapo fedha

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz