2530; Mnyoo Mjinga.

By | December 4, 2021
2530; Mnyoo Mjinga. Kwenye baiolojia kuna dhana kwamba mnyoo (parasite) mwenye akili anahakikisha kiumbe anayemtegemea hafi. Hivyo hata kama anamnyonya virutubisho mbalimbali, anahakikisha hachukui kila kitu mpaka kupelekea afe. Hiyo ni kwa sababu kama kiumbe ambaye mnyoo anamtegemea atakufa, basi na yeye atakufa pia. Hivyo tunaweza kusema mnyoo ambao unamuua

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz