#SheriaYaLeo (34/366); Lengo Kuu Moja.

By | December 4, 2021
#SheriaYaLeo (34/366); Lengo Kuu Moja. Unapochagua kufanya kazi chini ya mtu ambaye amebobea ili ujifunze kwake, lengo lako kuu ni kujifunza na siyo kulipwa vizuri au kupata hadhi kubwa. Unachohitaji ni kujijengea ujuzi bora na wa kipekee, ambao utaweza kuutumia kufanya makubwa kwenye maisha yako. Unapokuwa kijana na ndiyo unaanza

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: SHERIA ZA SIKU

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz