#SheriaYaLeo (36/366); Kusanya Ujuzi Mwingi.

By | December 6, 2021
#SheriaYaLeo (36/366); Kusanya Ujuzi Mwingi. Lengo lako kuu kwenye mafunzo unayoyapata ni kujifunza na kukusanya ujuzi mwenye kwenye yale maeneo yanayokuvutia na kukuhamasisha. Kama baadaye mambo yatabadilika na kulazimika kubadili kazi au biashara unayofanya, ujuzi mwingi uliojijengea unakupa fursa ya kufanya hivyo. Lakini pia utakuwa tayari unajua jinsi ya kujifunza

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: SHERIA ZA SIKU

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz