1796; Dunia Inakutamanisha…
Dunia haijali kuhusu maono na malengo uliyonayo kwenye maisha yake. Dunia inajali mambo yake na wale wanaokuzunguka nao wanajali mambo yao. Wewe peke yako ndiye unayeweza kujali kuhusu maono yako na malengo yako. Na kwa bahati mbaya sana, wewe mwenyewe kuna wakati unaacha kujali kuhusu maono yako na malengo yako. (more…)