Category Archives: MAWAZO 10

Mawazo 10 ya kuingiza fedha unapokuwa chini

By | July 23, 2021

Mawazo 10 ya kuingiza fedha unapokuwa chini kabisa. Kuna wakati mtu unakuwa unapitia magumu sana kwenye maisha na kuona kama kila kitu hakiwezekani. Unaweza kukata tamaa na kuona huna cha kufanya. Lakini usiruhusu hilo, yapo mengi ya kufanya. Na kuna njia mbalimbali za kuingiza fedha pale unapokuwa chini kabisa. Fanya (more…)

Mawazo 10 ya kuingiza fedha bila kuwa na fedha.

By | July 20, 2021

Mawazo 10 ya kuingiza fedha bila kuwa na fedha. Huwa kuna kauli kwamba unahitaji fedha ili kupata fedha. Ilikuwa sahihi kipindi cha nyuma, ila siyo sasa. Unaweza kuingiza fedha hata kama huna fedha kabisa. Hapa ni mawazo kumi unayoweza kufanyia kazi. Fanya kazi au vibarua ambapo kinachohitajika ni nguvu zako (more…)

Mawazo 10 ya kuingiza fedha kwa usomaji wa vitabu.

By | July 18, 2021

Mawazo 10 ya kuingiza fedha kwa usomaji wa vitabu. Kitu kimoja ninachoamini sana ni kwenye zama tunazoishi sasa unaweza kulipwa kwa chochote unachofanya. Miezi michache iliyopita nilinunua simu mpya, wakati naiweka kwenye chaji ukaja ujumbe, ingiza kipato kwa kuchaji simu yako. Mwanzo nilishangaa, lakini baadaye nikajiambia kipi cha kushangaa kutoka (more…)

Mawazo 10 ya kuingiza fedha kupitia mawazo yako.

By | July 17, 2021

Mawazo 10 ya kuingiza fedha kupitia mawazo yako. Akili unayo na unaweza kuitumia kuzalisha mawazo mbalimbali. Zipo njia mbalimbali za kuingiza fedha kupitia mawazo yako. Hapa kuna mawazo kumi ya kufanya hivyo. Kuja na mawazo ya kuongeza kipato chako na kuyafanyia kazi. Kuja na mawazo ya kupunguza gharama zako ili (more…)

Mawazo 10 ya kuingiza fedha kupitia samaki.

By | July 15, 2021

Mawazo 10 ya kuingiza fedha kupitia samaki. Samaki ni moja ya kitoweo muhimu kwenye maisha ya kila siku. Kwa kuwa kadiri watu watakavyoendelea kuwepo wataendelea kula, samaki ni moja ya chakula wanachohitaji. Hapa kuna mawazo kumi ya kuweza kuingiza kipato kupitia samaki. Kufuga samaki na kuwauza kwa ajili ya kula. (more…)