#TAFAKARI YA LEO; UNAOSTAHILI UNACHOLIPWA…
Watu wengi huwa wanalalamikia kipato wanachoingiza, wakisema ni kidogo sana na siyo sahihi kwao. Wanaona wanastahili kulipwa zaidi ya hapo. Kwenye uchumi wa soko huria, unastahili kile unacholipwa, hata kama ni kidogo kiasi gani, kwa sababu kinaendana na thamani unayozalisha. Hivyo kama unataka kulipwa zaidi, wajibu wako ni mmoja, zalisha (more…)