#TAFAKARI YA LEO; KUMILIKI KAZI…
Kazi ndiye rafiki wa kweli, rafiki atakayekufikisha kwenye mafanikio makubwa lakini pia asiyekuwa na wivu wala kukatisha tamaa. Lakini kazi zote hazifanani, kuna kuifanya kazi husika, kuyasimamia wanaofanya kazi na kumiliki kazi inayofanyika. Japo zote ni kazi, ila kiwango cha malipo kinatofautiana sana. Wewe kazana uwe mmiliki wa kazi inayofanyika (more…)