#TAFAKARI YA LEO; KILA MAISHA YANA GHARAMA…
Ukiwa masikini unaweza kuona matajiri wana maisha rahisi kuliko wewe, kwa kuwa wanaweza kupata chochote wanachotaka. Ukiwa tajiri unaweza kuona masikini wana maisha rahisi kuliko yako, kwa sababu hawasumbuki na mambo mengi. Ukweli ni kwamba kila maisha yana gharama ambayo lazima ilipiwe, hakuna maisha ya bure. Hivyo usihangaike kutafuta maisha (more…)