#TAFAKARI YA LEO; NJIA RAHISI YA KUIBADILI DUNIA…
“Everyone thinks of changing the world, but no one thinks of changing himself.” — Leo Tolstoy Kila mtu anafikiria kuibadili dunia na kuifanya kuwa sehemu bora kabisa ya kuishi. Kitu ambacho kipo nje ya uwezo wa kila mtu, maana dunia haiendi kulingana na matakwa ya yeyote, bali inajiendesha kwa misingi (more…)