3275; Wasioweza kuishi bila wewe.

By | December 19, 2023

3275; Wasioweza kuishi bila wewe. Rafiki yangu mpendwa,Safari ya mafanikio imekuwa ngumu sana kwa wengi kwa sababu wanapoteza rasilimali zao kwenye mambo yasiyokuwa na tija. Unakuta mtu anakazana kumfikia kila mtu na kukubalika na watu wote.Siyo tu kwamba hilo linakuwa haliwezekani, bali pia linawapoteza hata wale wazuri ambao wangefaa.Kwa mtu (more…)

3274; Hatari ya mafanikio.

By | December 18, 2023

3274; Hatari ya mafanikio. Rafiki yangu mpendwa,Tunapambana sana kufanikiwa, lakini hakuna kitu ambacho ni hatari kwenye maisha kama mafanikio. Hatari ya mafanikio inaanzia ndani ya mtu na kutoka nje yake pia.Hatari ya nje kwenye mafanikio ni kushambuliwa na wengine, ambao kwa sehemu kubwa wanakuwa wanakuonea wivu. Hatari ya ndani ya (more…)

3273; Usifanye mambo kuwa magumu zaidi.

By | December 17, 2023

3273; Usifanye mambo kuwa magumu zaidi. Rafiki yangu mpendwa,Nimekuwa nasema maisha tayari ni magumu, lakini watu huwa wanayaongezea ugumu kwa yale wanayokuwa wanayafanya. Unakuta watu wanahangaika na mambo ambayo hayana tija wala mchango kwenye kila wanachotaka.Ila wanafanya kwa sababu ndiyo wamezoea kufanya au ndiyo kila mtu anafanya. Kuepuka kuyafanya maisha (more…)

3272; Bora na sahihi.

By | December 16, 2023

3272; Bora na sahihi. Rafiki yangu mpendwa,Moja ya njia pendwa kwa wengi kupata mafanikio makubwa kwenye maisha ni kuwa bora sana kwenye kile wanachofanya kiasi kwamba wanatafutwa na wengi wenye uhitaji.Ni pale mtu anapokuwa anatafutwa na wengi ndiyo anaweza kutoza gharama kubwa na bado watu wakawa tayari kulipa. Hii ni (more…)

3271; Ahadi hewa.

By | December 15, 2023

3271; Ahadi hewa. Rafiki yangu mpendwa,Watu huwa wanatupa ahadi mbalimbali na sisi huwa tunaweka matumaini makubwa kwenye ahadi hizo.Lakini unapofika muda wa watu hao kutekeleza ahadi walizoweka ndiyo tunagundua zilikuwa ni ahadi hewa tu. Kadiri ahadi zinavyokuwa nyingi na nyingi zikawa hewa, ndivyo tunavyoumizwa kwa kutotimizwa kwa ahadi hizo. Hilo (more…)

3269; Usiwajengee kushindwa.

By | December 13, 2023

3269; Usiwajengee kushindwa. Rafiki yangu mpendwa,Watu wengi waliopo kwenye biashara hawapati ule uhuru ambao walitegemea kuupata wakiingia kwenye biashara.Na hiyo ni kwa sababu biashara zinakuwa zinawategemea kwa kila kitu. Biashara zinakuwa zinawategemea wao kwa kila kitu kwa sababu wanakuwa hawana timu.Au hata kama wana timu, inakuwa siyo timu inayoweza kuendesha (more…)

3267; Kuzingatia na Kuepuka.

By | December 11, 2023

3267; Kuzingatia na Kuepuka. Rafiki yangu mpendwa,Mara nyingi watu wamekuwa wanafundishwa na kushauriwa kuhusu mambo ya kuzingatia ili kupata mafanikio wanayokuwa wanayataka.Hayo ni mambo ambayo wanapaswa kuyafanya ili wapate matokeo wanayotaka kupata. Mambo ya kuzingatia ni muhimu, lakini hayo pekee hayatoshi kumpa mtu mafanikio makubwa anayokuwa anayataka.Kwani huwa kuna mambo (more…)

3266; Kwa nini huna imani?

By | December 10, 2023

3266; Kwa nini huna imani? Rafiki yangu mpendwa,Hivi karibuni kuna mtu aliniandikia akiomba ushauri ni biashara gani ya mtaji mdogo anayoweza kuifanya na ikampa faida kubwa? Kama kawaida yangu, huwa sikimbilii kumwambia mtu nini afanye, bali namuuliza kwanza maswali ili kumwelewa kwa kina.Na kupitia kumuuliza maswali mtu huyo niligundua tayari (more…)