Tag Archives: MSHAURI WA BIASHARA

BIASHARA LEO; Kuhusu Wateja Wasionunua Kwako.

By | May 8, 2015

Kwenye biashara unayofanya, kuna wateja ambao unajua kabisa wanaweza kunufaika na biashara yako, ila mpaka sasa hawanunui kwako. Je umewahi kujiuliza ni kwa nini? Kama bado unapoteza wateja wengi sana, hao unaowajua tayari na hata ambao bado hujawajua. Kwenye biashara, kama ilivyo kwenye maisha ya kawaida, hakuna kitu kinachotokea kw (more…)

BIASHARA LEO; Kama Mteja Anaweza Kununua Kwa Mtu Yeyote, Kwa Nini Anunue Kwako?

By | May 5, 2015

Swali rahisi sana; kama mteja anaweza kununua kwa mtu yeyote, kwa nini aje kununua kwako? Unaweza kujibu swali hili? Kama huwezi upo kwneye hatari. Ila usijali, nipo hapa ili tuweze kusaidiana ili uweze kufikia mafanikio kwenye biashara yako. Kama mteja anaweza kununua kw amtu yeyote na hana sababu nyingine yoyote (more…)

BIASHARA LEO; Aina Tatu Za Wateja Na Jinsi Unavyoweza Kufaidika Nao.

By | April 29, 2015

Unapoanza biashara, una kazi kubwa ya kufanya kujua wateja wako ni watu wa aina gani. Hili ni jambo muhimu sana ili uweze kuwapatia kile ambacho wanahitaji, uweze kutatua matatizo yao na kisha wakupatie wewe fedha. Japokuwa wateja wako wanawez akuwa na tatizo sawa, lakini bado hawafanani. Kutokana na tabia tofauti (more…)

BIASHARA LEO; Kama Hujaweza Kumpata Mteja Huyu, Huna Biashara.

By | April 28, 2015

Lengo la biashara ni kutengeneza wateja ambao watakuwa wanakuamini na mtaendelea kufanya biashara pamoja. Wateja hawa watakuw atayari kuwaambia watu wengine kuhusiana na biashara yako na hivyo kuleta wateja wengi zaidi. Lakini sio wateja wote ni sawa na wote hawapatikani kwa njia moja rahisi. Kuna wateja ambao unaweza kuwapata kirahisi (more…)