Tag Archives: SEMINA YA BIASHARA

Karibu Kwenye Semina Ya Mafanikio Kwenye Biashara Mwaka 2015.

By | April 20, 2015

Huu ni wakati ambao karibu kila mtu anahitaji kuingia kwenye biashara. Haijalishi mtu ameajiriwa au hana ajira, haijalishi kiwango cha elimu mtu alichonacho na wala haijalishi umri wa mtu, kwa sasa kila mtu anahitaji kuwa kwenye biashara. Ajira zimekuwa za shida kupatikana na hata wale wanaozipata bado haziwawezeshi kuyamudu maisha. (more…)