Tag Archives: UAMINIFU

UAMINIFU; Uhusiano kati ya tabia ya uaminifu na mafanikio Makubwa.

By | February 24, 2015

Uaminifu ni moja ya tabia muhimu sana unazohitaji kujijengea. Hii ni kwa sababu kwa tabia ya uaminifu itakuwezesha kufikia mafanikio makubwa sana kuliko ambayo ungeyafikia kama usingekuwa na tabia ya uaminifu. Leo tutaona uhusiano wa karibu kati ya tabia ya uaminifu na mafanikio makubwa kwenye maisha. Kama tulivyoona kwenye siku (more…)

UAMINIFU; Jinsi ya kuepuka mazingira yanayokuondolea tabia ya uaminifu.

By | February 18, 2015

Mpaka sasa tumeshaona uaminifu ni tabia muhimu sana ili kuweza kufikia mafanikio makubwa. Hii ni kwa sababu unapokuwa mwaminifu watu wengi wanakuamini na wanakuwa tayari kushirikiana na wewe. Leo tutajadili jinsi ya kuepuka mazingira ambayo yanakuondolea tabia ya uaminifu. Hapa tutaangalia mbinu muhimu ambazo zitakuondoa kwenye mtego ambao utakufanya ufanye (more…)

UAMINIFU; Jinsi ya kujijengea tabia ya uaminifu.

By | February 10, 2015

Kama tulivyoona kwenye makala iliyopita, uaminifu ni tabia muhimu sana kw amtu yeyote anayetaka kufikia mafanikio makubwa kwenye maisha yake. Kuna watu ambao wanafikiri ukiwa masikini au ukiwa huna mafanikio basi huwezi kuwa mwaminifu. Na watu hawa hufikiri kwamba wakishakuwa na mafanikio basi wataanza kuwa waaminifu. Kosa kubwa sana, haufanikiwi (more…)

TABIA ZA MAFANIKIO; Jinsi Ya Kujijengea Tabia Ya Uaminifu.

By | February 3, 2015

Kuna vitu vitatu muhimu sana kwa mtu yeyote anayetaka kufikia mafanikio makubwa. Vitu hivyo ni kufanya kazi kwa bidii na maarifa, kuwa mwaminifu na kuwa muadilifu. Ukikosa kimoja kati ya vitu hivi vitatu ni sawa na jiko la mafiga matatu ambalo limekosa figa moja, haliwezi kupika. Ukikosa vyote vitatu ni (more…)