Tag Archives: UBUNIFU WA BIASHARA

Vitu muhimu vya kuzingatia ili kukuza biashara yako.

By | June 15, 2015

Peter Drucker, aliyekuwa mtaalamu wa usimamizi kwenye biashara, aliwahi kusema kwamba kwa kuwa lengo la biashara ni kutengeneza wateja, biashara yoyote ina majukumu mawili tu ya msingi; masoko na ubunifu. Vitu hivi viwili ndio vinaleta faida kwenye biashara, vingine vyote vinaleta gharama. Leo katika makala hii ya kona ya mjasiriamali (more…)

BIASHARA LEO; Jambo Moja Muhimu La Kuzingatia Kwenye Upangaji Wa Bei.

By | May 18, 2015

Kama kuna maji ya makampuni matatu sokoni na maji ya kampuni moja yakawa yanauzwa kwa bei rahisi kuliko ya makampuni mengine, wateja watanunua yapi? Haihitaji elimu kubwa kujua kwamba watanunua yale maji yanayouzwa kwa bei rahisi. Wateja wengi watanunua maji hayo. Hii ni kwa sababu maji hayatofautiani sana, maji ni (more…)

BIASHARA LEO; Mteja Hajui Anachotaka, Ila Anajua Kitu Hiki Muhimu Sana.

By | April 16, 2015

Kama unataka kukuza biashara yako na ifikie viwango vya juu sana basi usitegemee sana maoni ya wateja, hasa kuhusu ni nini wanataka. Ukiondoa biashara za uchuuzi ambazo mtu anakwenda dukani moja kwa moja kununua sukari, biashara nyingi mteja hajui anachotaka. Ndio hajui ni kitu gani hasa anachokitaka, ila akikipata atafurahia (more…)