Tag Archives: USHAURI WA BIASHARA

BIASHARA LEO; Epuka Siri Kwenye Biashara Yako, Hasa Wakati Wa Matatizo.

By | June 26, 2015

Wamiliki wengi wa biashara huwa wanapenda kuweka matatizo ya biashara zao kuwa siri yao wenyewe. Hata watu ambao wanahusika na biashara hiyo kwa karibu sana hawapati nafasi ya kujua kama biashara ipo kwenye matatizo. Watu kama wafanyakazi wa biashara hiyo wanakuwa hawajui kama biashara ipo kwenye matatizo na hivyo kuendelea (more…)

BIASHARA LEO; Sababu Za Kijinga Zinazokupotezea Wateja Kwenye Biashara Yako.

By | June 25, 2015

Wafanyabiashara wengi wamekuwa wakilalamika biashara ni ngumu, biashara hazina wateja, biashara zina ushindani mkali na mengine mengi. Lakini kila ukichunguza biashara nyingi unaona makosa mengi ya kijinga ambayo wafanyabiashara wamekuwa wanafanya na yanawafukuza wateja. Yaani naweza kusema kwamba kama biashara inakufa, asilimia 90 ya sababu za kufa kwa biashara hiyo (more…)

BIASHARA LEO; Vitu Viwili Muhimu Kujua Kuhusu Wateja Wa Biashara Yako.

By | June 24, 2015

Kwanza kabisa kama ambavyo nimekuwa nasisitiza, usiwe kwenye biashara ambayo hujui mteja wako ni nani. Tafadhali sana, chukua muda wa kumjua mteja wako au achana na biashara hiyo. Humsaidii yeyote kwa kutojua mteja wa biashara yako, na biashara itakuwa ngumu sana kwako kama hujui mteja wako ni nani. Sasa kikubwa (more…)

Mambo ya kuzingatia kabla ya kuingia kwenye ubia wa kibiashara.

By | June 22, 2015

Moja ya njia rahisi za kuingia kwenye biashara au kukuza biashara yako ni kuingia kwenye ubia na mtu mwingine. Watu wengi wametumia njia hii, ila ni wachache sana ambao wameweza kufanikiwa kuendesha biashara zao vizuri kwa njia hii ya ubia. Watu wengi wanaoingia kwenye ubia wamekuwa wakiishia kugombana na kushindwa (more…)

Mambo ya kuzingatia kabla ya kuingia kwenye ubia wa kibiashara.

By | June 22, 2015

Moja ya njia rahisi za kuingia kwenye biashara au kukuza biashara yako ni kuingia kwenye ubia na mtu mwingine. Watu wengi wametumia njia hii, ila ni wachache sana ambao wameweza kufanikiwa kuendesha biashara zao vizuri kwa njia hii ya ubia. Watu wengi wanaoingia kwenye ubia wamekuwa wakiishia kugombana na kushindwa (more…)

BIASHARA LEO; Je Unatangaza Biashara Au Unapiga Kelele Kwenye Mitandao Ya Kijamii?

By | June 18, 2015

Mitandao ya kijamii ni sehemu nzuri sana ya kutangaza biashara yako. Hii ni sehemu ambayo wateja wako wanakuwepo kwa muda mrefu na wanafuatilia mambo mbalimbali. Lakini changamoto moja inakuja kamba wengi wa watu wanaotangaza kwenye mitandao hii, kiuhalisia hawatangazi, bali wanapiga kelele. Na kwa jamii ya sasa, watu hawataki kelele, (more…)

BIASHARA LEO; Changamoto Ya Kupanga Bei Na Jinsi Ya Kukabiliana Nayo.

By | June 15, 2015

Kupanga bei kwenye biashara ni changamoto kubwa sana unayotakiwa kuifanyia kazi vizuri kama kweli unataka kupata mafanikio makubwa kupitia biashara unayofanya. Watu wengi wamekuwa wakifikiria kwamba ukishusha bei basi utapata wateja wengi sana. Huu sio ukweli kuuza vitu kwa bei ya chini kunaweza kuwa kikwazo kwako kupata wateja wengi zaidi (more…)

BIASHARA LEO; Mtazamo Wa Kuvuna Na Mtazamo Wa Kujenga.

By | June 13, 2015

Katika biashara kuna mitazamo miwili mikubwa, mtazamo wa kwanza ni wa kuvuna, na mtazamo wa pili ni wa kujenga. Mtazamo wa kuvuna. Hapa ni pale ambapo mfanyabiashara anaangalia ni kitu gani anakipata sasa. Yeye anafikiria kuvuna tu na hivyo anapoipata fursa anaitumia kwa uhakika. Na kama hakuna njia ya kuvuna (more…)

BIASHARA LEO; Umuhimu Na Jinsi Ya Kujenga Uaminifu Kwa Wateja Wako.

By | June 12, 2015

Biashara ni uaminifu, kama hakuna uaminifu hakuna biashara. Kama bado unafanya biashara kwa mazoea yale ya zamani kwamba biashara ni kuwaibia watu, usiendelee kusoma makala hii maana tutakavyojadili hapa hutavielewa. Badala yake fungua makala za nyuma kwenye kipengele hiki cha BIASHARA LEO na uanze kujifunza yale muhimu kwanza. Sasa twende (more…)

BIASHARA LEO; Kutojali Kwako Kunavyokuletea Hasara Kwenye Biashara.

By | June 11, 2015

BIASHARA LEO; Kutojali Kwako Kunavyokuletea Hasara Kwenye Biashara. Jana nilikuwa kwenye ofisi moja, mama mmoja akatoka kwenda kutoa fedha kwa njia ya simu na kununua vocha pia. Baada ya muda alirudi akiwa amekamilisha zoezi lake na kutaka kuingiza vocha kwenye simu. Alipoangalia akakuta amepewa vocha mara mbili ya alizoagiza. Alinunua (more…)