SIKU YA 26; Tabia Za Mafanikio Kwa Wanafunzi.

By | September 26, 2014
Ni vyema kukumbuka kwamba pale tabia za mafanikio zinapokuwa zimejengwa zitaendelea kuwa na wewe mpaka utakapojenga tabia nyingine. Tabia za mafanikio utakazojifunza sasa ukiwa mwanafunzi zitakusaidia katika maisha yako ya elimu na hata maisha yako baada ya elimu. Hizi hapa ni baadhi ya tabia za mafanikio kwako mwanafunzi. 1. Tengeneza

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: SIKU 30 ZA MAFANIKIO

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz