SIKU YA 28; Sheria Ya Kujiamini Ili Kufikia Mafanikio Makubwa.

By | September 28, 2014
Ni hali ya kusikitisha kwamba kushindwa kujiamini kumewazuia watu wengi sana kuweza kufikia mafanikio makubwa. Kutokujiamini ni kikwazo kikubwa kwa watu wengi kufikia mafanikio, ni sehemu ndogo sana ya watu walioweza kufikia mafanikio makubwa ni hii ni kwa sababu wanajiamini. Kutokujiamini ni kukosa imani kwako binafsi na kwenye uwezo wako.

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: SIKU 30 ZA MAFANIKIO

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz