Usilalamike, Dunia Imekupa Kila Kitu, Ni Wewe Tu…

By | August 6, 2015
Dunia imeshakupa kila kitu ambacho wewe unataka. Kama unabisha angalia ni watu wangapi ambao wameanzia pabaya kuliko wewe lakini wameweza kufika mbali. Sasa na wewe unawezaje kufika mbali zaidi ya ulipo sasa? Acha kulalamika kwamba dunia haina usawa, Acha kulalamika kwamba kuna wengine wanapendelewa, Amua ni kitu gani unachotaka kwenye

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: UJUMBE WA LEO

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz