UKURASA WA 328; Kuwa ‘Bize’ Vs Kuzalisha.

By | November 24, 2015
Kuwa bize na kuzalisha ni vitu viwili tofauti kabisa. Mara nyingi wale wanaoonekana kuwa bize sana huwa wanakuwa na uzalishaji mdogo sana, japo wao wanaweza kufikiri kinyume chake. Kila mtu anaweza kuwa bize, lakini ni wachache sana wanaoweza kuwa na uzalishaji mkubwa. Unaweza kuwa bize kwa kufanya mambo ambayo hayana

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz