UKURASA WA 341; Kutatua Changamoto Yako, Toa Ushauri…

By | December 7, 2015
Pale ambapo changamoto haikuhusu ni rahisi sana kutoa ushauri, kwa sababu hujashikwa hisia zako na changamoto hiyo na hivyo kuweza kuona vitu kama vilivyo. Kwa hiyo ni rahisi kuona wapi pa kupita ili kuweza kuitatua. Changamoto inapokuwa inakuhusu wewe, hisia zako zinakuwa juu na siku zote hisia zikiwa juu basi

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz