UKURASA WA 375; Fikra Potofu Kuhusu Mafanikio…

By | January 10, 2016
Kipindi cha nyuma, na hata sasa kwa kiasi fulani, watu wamekuwa wanaamini kwamba mafanikio na wema haviwezi kuwa pamoja. Ni labda uchague kuwa mwema au uchague kuwa na mafanikio. Na hivyo fikra za aina hii ziliwaweka watu wema njia panda na kuyaogopa kabisa mafanikio kwa sababu waliaminishwa kupata mafanikio kungeharibu

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz