UKURASA WA 397; Swali Muhimu Sana La Kujiuliza Leo Na Kila Siku, Kwenye Kila Jambo.

By | February 1, 2016
Hadithi inakwenda kwamba mama mmoja alikuwa anakata samaki mkia kabla ya kumkaanga. Binti yake alikuwa akiona hilo kila siku ila hakuelewa kwa nini. Basi akaamua siku moja amuulize mama yake. “mama kwa nini unamkata samaki mkia kabla ya kumkaanga?” mama akamjibu bibi yako alikuwa anafanya hivyo. Basi ikabidi mama amigie

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz