ONGEANA COACH; Nyeupe ni nyeupe na nyeusi ni nyeusi.

By | March 15, 2016
Habari rafiki yangu? Unaendeleaje na harakati za kuyafanya maisha yako kuwa bora zaidi? Nina hakika uko vizuri na licha ya changamoto na vikwazo ulivyopitia, bado hujakata tamaa, unaendelea kuweka juhudi kwa sababu unajua ni kitu gani unataka kwenye maisha yako na unajua kuwa utakipata. Lakini pia huenda umejaribu na kukutana

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: ONGEA NA COACH MAKIRITA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz